Wednesday, September 7, 2011
Tuesday, September 6, 2011
.........HARUSI YA STAR WA NOLLYWOOD, MERCY JOHNSON YAFAANA......


Kushoto ni muigizaji EMEKA IKE akiingia na kulia ni muigizaji wa Ghana Michel Majid wote walikuepo.
Comediana mfupi Nollywood Chinedu Ikedieze na mchekeshaji wa jukwaani AY.
Msanii 2shots(kushoto)akiwa na muigizaji Mike Ezuruonye harusini
GENEVIEVE NNAJI akitoa wosia wake kwa Mercy,Genevieve ndiye aliyemfanya Mercy aingie katika uigizaji na miaka yote Mercy humuona Genevieve kama mwalimu wake katika sanaa hii.
Harusi ya muigizaji maarufu wa Nigeria MERCY JOHNSON OZIOMA na mmewe PRINCE ODIANOSEN OKOJIE iliyofungwa jumamosi iliyopita katika kanisa la CHRIST EMBASSY mjini Lagos ilifana sana na kuhudhuriwa na mastaa wengi wa Nollywood hivyo kuvunja rekodi.Kabla ya harusi hii kufungwa kulikuwa na mgogoro mkubwa kati ya mke wa zamani wa PRINCE ODIANOSEN ajulikanae kama LOVELYNE OKOJIE aliyetoa pingamizi kuwa alishaolewa na hajaachwa pia amezaa nae watoto wawili na picha zao akatoa,lakini mambo yaliwekwa sawa na harusi ikafungwa vizuri tu.
.......WASANII WA FILAMU WALIVYOSHEHEREKEA SIKUKUU YA EID FITR.....RI


Baadhi ya Wasanii wa kike wa Filamu Tanzania waliandaa sherehe ndogo ya chakula cha mchana na vinywaji kidogo na kuwaalika ndugu na jamaa na baadhi ya wasanii kuja kula na kuburudika pamoja.Wasanii hao wa kike walioandaa sherehe hiyo ni Cathy Rupia,Odama,Rachel Haule,Dada Eriethy,Devotha,Mayasa Mrisho,Malisa na kadadaa, Hao ndio kinadada waliofanya party hiyo lakini bila kuchelewa wasanii wa kiume nao waliichangamkia sherehe hiyo na kujumuika pamoja na dada zao.Hakika ilipendeza mpaka mwisho wa sherehe kila mtu aliondoka kivyake.Sherehe hii ilikuwa ndani ya Lamada Hotel
Monday, September 5, 2011
........JOYCE KIRIA PATA MWENZA.......


Mwanadada Joyce Kiria ambaye kwa sasa ni mke wa mtu, amefunga ndoa na Henry Joseph na baadae sherehe fupi iliyofanyika katika Hoteli ya Atrium Sinza Africa Sana, Dar
Joyce Kiria, Shamimu wa 8020 Fashion, bwana harusi Henry Joseph na Dominic Nyalifa wa EATV
Picha kwa hisani ya ANKO Michuz
.......ROSE ALBERT NDIYE VODACOM MISS TALENT 2011........


Mrembo Rose Albert akionyesha kipaji chake katika siku ya kumtafuta Vodacom Miss Talent 2011 ambapo alifanikiwa kunyakua taji hilo, katika hotel ya Giraffe jijini Dar es Salaam
Majaji wa shindano la Vodacom miss Talent 2011 wakiwa kazini,kutoka kushoto Jacqueline Walper, Rachel Sindbard, Bosco Majaliwa.
Warembo tano bora waliofanikiwa kuingia katika kinyang’anyiro cha Vodacom miss talent 2011 ambapo Rose Albert (watatu toka kushoto) alifanikiwa kunyakua taji hilo katika hotel ya Giraffe jijini Dar es Salaam.
Vodacom Miss Talent 2011 Rose Albert akiwapungia mkono watazamaji mara baada ya kutangazwa kuwa mshindi wa shindano hilo.
Friday, September 2, 2011
..............JOB OPPORTUNITIES........


Mechanical Technicians (3 Posts)
AJIM Enterprises Ltd
Date Listed: 30/08/2011
Email Address: Click to Email
Phone: N/A
Area: Dar Es Salaam
Application Deadline: 15/09/2011
Phone: N/A
Area: Dar Es Salaam
Application Deadline: 15/09/2011
Position Description:
From: The Guardian, August 30, 2011
Qualification
A minimum of yrs working experience preferably in mechanical contractors firms or project supervision
From: The Guardian, August 30, 2011
Qualification
A minimum of yrs working experience preferably in mechanical contractors firms or project supervision
Application Instructions:
Interested applicants should send their CV, Cover Letter and Copies of certificates to the Email Link above by post to
Managing Director
AJIM Enterprises Ltd
P O BOX 41328
Dar es Salaam, Tanzania
Interested applicants should send their CV, Cover Letter and Copies of certificates to the Email Link above by post to
Managing Director
AJIM Enterprises Ltd
P O BOX 41328
Dar es Salaam, Tanzania
Senior Stores Clerk Manager
Prestige Professional Recruiters
Phone: +255 22 266 4373
Area: Dar Es Salaam
Application Deadline: 30/09/2011
Position Description:
Appropriate degree or diploma for stores/material management
4 to 5 years experience in middle to large, well run company in the equivalent or appropriate position of stores manager.
Must have excellent management and leadership skills.
Good English and Kiswahili written and spoken skills
Application Instructions:
Interested applicants should send their CV, Cover Letter to the Email Link above
Website: Go to Website
Programme Accountant
Maarifa ni Funguo
Date Listed: 30/08/2011
Email Address: Click to Email
Phone: N/A
Area: Arusha
Application Deadline: 13/09/2011
Phone: N/A
Area: Arusha
Application Deadline: 13/09/2011
Position Description:
From: Daily News, August 30, 2011
Qualification
• Minimum of diploma in accountancy or equivalent
• Minimum of 3 yrs experience in finance operations
• Working experience of 3 yrs community based ,development organizations ,passion for the poor and broad understanding of development issues in Tanzania
From: Daily News, August 30, 2011
Qualification
• Minimum of diploma in accountancy or equivalent
• Minimum of 3 yrs experience in finance operations
• Working experience of 3 yrs community based ,development organizations ,passion for the poor and broad understanding of development issues in Tanzania
Application Instructions:
For applications instructions, go to the Website Link below
Website: Go to Website
For applications instructions, go to the Website Link below
Website: Go to Website
........BEFORE THEY WERE STARS WITH AGENT SASCO.......


Prior to various fan bases and Dancehall industry players knew him as a lyrical "Assassin," Jeffery Campbell was the typical youngster aspiring to become a world renowned deejay. However, Campbell is a rare case of an artiste who got his break at a young age and, in his case, on the first try.
Born in 1982, Agent Sasco had an affinity for music from his childhood days and carried that love with him to Camperdown High School where he excelled in the arts and often engaged in lyrical clashes within the school's cafeteria. His lyrical fluidity and constant victories in clashes against schoolmates earned him the nickname Agent Sasco, and built his confidence as an emerging Dancehall talent hoping for a breakthrough. Prior to his final year at Camperdown, a 17 year old Assassin decided to test his musical skills in a different way; writing the lyrics to a song entitled, "Big Up All Di Shotta Dem," and giving them to a friend to use.
That friend, Briggy passed on the lyrics to his Uncle and legendary Dancehall/Reggae artiste, Spragga Benz. Spragga was impressed with what he saw and almost immediately voiced the song on the classic, Street Sweeper Riddim by internationally acclaimed producers, Steelie & Clevie. Though the song itself was part of a summer job he had been doing in order to find out if he had what it took to be successful in the music industry, Spragga saw that Assassin had even more potential as a pure deejay. Spragga soon took Assassin under his wing and harnessed his talents; making him one of the hottest young prospects in Dancehall music in the early 2000s. Assassin's mainstream breakthrough would arrive in 2003 when he unveiled the medley video for his singles, "Do My Thing" and "Cyaan Lock Off Di Dance." The singles received great acclaim and started a great two year run for the Spragga Benz protégé; unveiling hit singles such as "It's A Girl Thing," "Girls Gone Wild," and the internationally acclaimed single, "Idiot Thing Dat," in 2004.
Thursday, September 1, 2011
........VODACOM MISS SPORT LADY NI LOVENESS FLAVIANA.......


Mshindi wa Vodacom miss sports lady 2011, Loveness Flaviana akiwa kwenye picha katika mapozi mbalimbali na washiriki wenzake mara tu baada ya kutangzwa kuwa ndo mshindi wa category hiyo. Moja kwa moja Loveness amejikatia ticketi ya kuwa mmojwapo kati ya warembo watakaotinga katika nusu fainali ya Vodacom miss Tanzania.