MWANAMUZIKI Jennifer Lopez amefanikiwa kumzuia mumewe wa zamani kusambaza mkanda wao wakifanya mapenzi wakati walipokuwa kwenye ndoa. Lopez, ambaye ni maarufu kwa jina la J.Lo alitinga mahakamani na maombi yake yalikubaliwa.
Mumewe huyo wa zamani Ojani Noa anataka kuuza kanda hiyo waliyorekodi wakati wako kwenye fungate ya harusi yao.
Noa anafanya dili ya kusambaza mkanda huo na mpenzi wake wa sasa, Claudia Vazquez.
Mwanasheria wa Vazquez alithibitisha walikuwa na mpango wa kupiga mnada kanda hiyo kwenye tovuti zinazoonyesha picha za ngono.
"Vazquez ataheshimu amri ya mahakama," alisema mwanasheria Armenta.
Mumewe huyo wa zamani Ojani Noa anataka kuuza kanda hiyo waliyorekodi wakati wako kwenye fungate ya harusi yao.
Noa anafanya dili ya kusambaza mkanda huo na mpenzi wake wa sasa, Claudia Vazquez.
Mwanasheria wa Vazquez alithibitisha walikuwa na mpango wa kupiga mnada kanda hiyo kwenye tovuti zinazoonyesha picha za ngono.
"Vazquez ataheshimu amri ya mahakama," alisema mwanasheria Armenta.
1 comments:
huu ni uthalilishaji kabisa yaani huyo mwanaume akamatwe naye afungwe ikiwa kama mbadala ya uthalilishaji.
Post a Comment