Thursday, November 8, 2012

........VIGEZO VYA KUMRITHI ASIA DACHI HIVI HAPA......


Vigezo vya kujiunga na ushiriki washindano hilo :-
Pia vigezo vya mshiriki kuwa mshindi lazima akidhi vigezo vifuatavyo na Jumla ya alama ni 100 na zimegawanyika kama ifuatavyo;-
·         sura na umbo lenye mvuto wa mwanamitindo. (Alama 30).
·         Uwezo wa ziada wa kutembea miondoko ya kimaonyesho ya nguo.(Alama 30).
·         Uwezo wa kutambua mambo mbalimbali na kujieleza (Alama 20).
·         Kujiamini na uchangamfu jukwaani.(Alama 10)
·         Nidhamu. (Alama 10)

Jumla ya alama ni 100 na zimegawanyika kama ifuatavyo;-
·         sura na umbo lenye mvuto wa mwanamitindo. (Alama 30).
·         Uwezo wa ziada wa kutembea miondoko ya kimaonyesho ya nguo.(Alama 30).
·         Uwezo wa kutambua mambo mbalimbali na kujieleza (Alama 20).
·         Kujiamini na uchangamfu jukwaani.(Alama 10)
·         Nidhamu. (Alama 10)

0 comments:

Twitter Delicious Facebook Digg Stumbleupon Favorites More

 
Design by Free WordPress Themes | Bloggerized by Lasantha - Premium Blogger Themes | Grants For Single Moms