Vigezo vya kujiunga na ushiriki washindano hilo :-
Pia vigezo vya
mshiriki kuwa mshindi lazima akidhi vigezo vifuatavyo na Jumla ya alama ni
100 na zimegawanyika kama ifuatavyo;-
·        
sura na umbo lenye mvuto wa mwanamitindo. (Alama 30).
·        
Uwezo wa ziada wa kutembea miondoko ya kimaonyesho ya nguo.(Alama 30).
·        
Uwezo wa kutambua mambo mbalimbali na kujieleza (Alama 20).
·        
Kujiamini na uchangamfu jukwaani.(Alama 10)
·         Nidhamu.
(Alama 10)
Jumla ya alama ni 100
na zimegawanyika kama ifuatavyo;-
·        
sura na umbo lenye mvuto wa mwanamitindo. (Alama 30).
·        
Uwezo wa ziada wa kutembea miondoko ya kimaonyesho ya nguo.(Alama 30).
·        
Uwezo wa kutambua mambo mbalimbali na kujieleza (Alama 20).
·        
Kujiamini na uchangamfu jukwaani.(Alama 10)
·         Nidhamu.
(Alama 10)


 
 6:46 AM
6:46 AM
 wajanjaclub
wajanjaclub








 
 
 
 
 
 
0 comments:
Post a Comment