Baadhi
ya wadau waliohudhuria tafrija hiyo
Warembo wakiwa kwenye pozi
Viongozi wa kamati ya Miss Tanzania
Mke wa Waziri Mkuu Mstaafu, Regina Lowasa akicheza mziki wa Kwaito na Warembo wanaoshiriki shindano la Redds Miss Tanzania 2012, wakati wa tafrija maalum ya kuwakaribisha warembo hao katika mji wa Monduli jana mkoani Arusha. Warembo wa Redds Miss Tanzania wapo Kanda ya Kaskazini kutembelea vivutio mbalimbali vya Utalii vilivyopo katika mikoa hiyo
Washiriki wa Redds
Miss tanzania 2012 wakiwa katiak picha tofauti tofauti wakati wakiwa katika
eneo la Hifadhi ya Mlima Kilimanjaro KINAPA..
Warembo wakizungumza na mmoja wa Wasaidizi wa
watalii wanao panda mlima Kilimanjaro.
Warembo
wakiwa wamekaa na mavazi yao yimasaai
0 comments:
Post a Comment