MSANII
nguli wa filamu Tanzania, Vicent
Kigosi ‘Ray’, amesema kuwa hivi karibuni anatarajia
kuachia filamu yake mpya aliyoipa jina la ‘Sister Mary’, iliyofanyika chini ya RJ Company ambayo
itakuwa na nyota wengine kama
Irene Uwoya, Johari
na wengine kibao ambao wanafanya vizuri kwenye tasnia ya filamu nchini.
Ndani ya mzigo huo Uwoya
amecheza kama Sister
Mary na Ray
amecheza kama Father
Criss.
Ray alizungumza na mtandao wa huu na kusema kuwa zipo filamu nyingine ambazo zinakuja lakini hiyo imeshakamilika na mashabiki wake wataanza kuitazama pia imetengezwa katika kiwango cha hali ya juu.
“Hiyo ndiyo filamu ambayo inakuja kwa sasa na nipo na wasanii wengi wazuri ambao wanafanya vizuri na kila msanii amecheza vizuri kulikana na nafasi yake, hata hivyo nawaomba mashabiki wangu wanipe sapoti yao kwani bila wao mimi siwezi kusimama na kufanya filamu,” alisema,
Ray alizungumza na mtandao wa huu na kusema kuwa zipo filamu nyingine ambazo zinakuja lakini hiyo imeshakamilika na mashabiki wake wataanza kuitazama pia imetengezwa katika kiwango cha hali ya juu.
“Hiyo ndiyo filamu ambayo inakuja kwa sasa na nipo na wasanii wengi wazuri ambao wanafanya vizuri na kila msanii amecheza vizuri kulikana na nafasi yake, hata hivyo nawaomba mashabiki wangu wanipe sapoti yao kwani bila wao mimi siwezi kusimama na kufanya filamu,” alisema,
0 comments:
Post a Comment