MCHEKESHAJI
aliyeshika kasi katika fani ya comedy hapa Tanzania, Kitale, akiongea na NASI amesema kuchekesha
ni kipaji na si kukurupuka, akitolewa utofauti kuwa scenes hizo si kama scenes
nyingine za maigizo ambapo mtu anaweza kufanya kwa kupewa maelekezo
yaliyo kwenye makaratasi.
Asema kuwa watu wengi wanaamini kufanya comedy ni kazi rahisi ya kukaa mbele ya kamera lakini kumbe ni kazi ambayo inahitaji kipaji cha hali ya juu sana. Alisema kuwa kumfanya mtu hadi akahisi kuwa na hisia ya kitu fulani au kucheka si kazi ndogo na ndiyo maana wasanii wengi wa comedy ni wenye vipaji na comedy films zinakubalika sana sokoni.
Asema kuwa watu wengi wanaamini kufanya comedy ni kazi rahisi ya kukaa mbele ya kamera lakini kumbe ni kazi ambayo inahitaji kipaji cha hali ya juu sana. Alisema kuwa kumfanya mtu hadi akahisi kuwa na hisia ya kitu fulani au kucheka si kazi ndogo na ndiyo maana wasanii wengi wa comedy ni wenye vipaji na comedy films zinakubalika sana sokoni.
0 comments:
Post a Comment