VISHINDO
vya kumwacha, Karrueche Tran, vimemtokea puani Chris Brown kwani sasa inadaiwa
anakesha kwenye simu akimlazimisha mwanamitindo huyo warudiane.
Inadaiwa kuwa Brown anahaha kumtumia meseji mwanamke huyo ili warudiane lakini Karrueche ameweka msisitizo kuwa anahitaji mwanamume na si kijana.
Baada ya kutangaza kuachana, Brown inadaiwa alimpa pesa nyingi mwanamke huyo ili akatafute nyumba ya kuishi na sasa hajui wapi mrembo huyo alipojichimbia.
Chanzo cha Chris kutaka kumrudia Karrueche kinadaiwa ni ushauri wa watu wa karibu ambao wanamwambia kuwa hatawezana na Rihanna.
Inadaiwa kuwa Brown anahaha kumtumia meseji mwanamke huyo ili warudiane lakini Karrueche ameweka msisitizo kuwa anahitaji mwanamume na si kijana.
Baada ya kutangaza kuachana, Brown inadaiwa alimpa pesa nyingi mwanamke huyo ili akatafute nyumba ya kuishi na sasa hajui wapi mrembo huyo alipojichimbia.
Chanzo cha Chris kutaka kumrudia Karrueche kinadaiwa ni ushauri wa watu wa karibu ambao wanamwambia kuwa hatawezana na Rihanna.
0 comments:
Post a Comment