NYOTA
wa Nollywood, Mercy Johnson amekiri kufurahia maisha kwa sasa. Dada huyo
anafurahia penzi jipya la Ayo Makun maarufu kama 'Ayas'.
Rafiki wa karibu wa Mercy amesema kuwa mwanamke huyo kwa sasa anafurahia maisha ingawa haijafahamika iwapo ataishi na mwanaume huyo au la.
"Kila mara anapokuwa na mwanaume huyo huwa wanacheka tu, nadhani wamepatana sana," alisema mtu huyo.
Ayas ambaye ni mwigizaji wa filamu za vichekesho pia alimshirikisha Mercy katika filamu yake mpya iitwayo 'AY Crib'. Filamu hiyo itakuwa hewani Oktoba Mosi mwaka huu.
Rafiki wa karibu wa Mercy amesema kuwa mwanamke huyo kwa sasa anafurahia maisha ingawa haijafahamika iwapo ataishi na mwanaume huyo au la.
"Kila mara anapokuwa na mwanaume huyo huwa wanacheka tu, nadhani wamepatana sana," alisema mtu huyo.
Ayas ambaye ni mwigizaji wa filamu za vichekesho pia alimshirikisha Mercy katika filamu yake mpya iitwayo 'AY Crib'. Filamu hiyo itakuwa hewani Oktoba Mosi mwaka huu.
0 comments:
Post a Comment