mtoto guu
......Anaitwa Princess Getrude, Msanii mpya anayekuja kwa kasi katika tasnia ya filamu nchini. Hivi karibuni msanii huyu utaanza kumouna kwenye Tamthiliya ya REDD APPLE iliyoandaliwa na TUESDAY ENTERTAINMENT. Mtavyonzajeeee????..... Lakini pia Getrude ni mmoja kati ya hot models in town wa blog hii............
0 comments:
Post a Comment