MSANII
wa muziki wa kizazi kipya ambaye alitamba na kibao cha 'Kifungo Huru', amesema
katika suala la muziki habahatishi tofauti na wengi wanavyodai.
Kwa kuthibitisha hilo, msanii huyo, C-Sir Madini, ameamua kutoa wimbo mwingine alioutambulisha kwa jina la 'Nishike Mkono'.
Msanii huyo ambaye bado ni mwanafunzi, anasema wakati mwingine anakuwa kimya kwenye anga za muziki kutokana na kutingwa na masomo.
"Masomo ndiyo yanayonifanya nishindwe kutoka mara kwa mara kutokana na nguvu nyingi kuzielekeza huko," alisema.
Kuhusu wimbon huo mpya, alisema tayari picha zake za video zimeshachukuliwa na amemshirikisha Benjamin Busungu..
Kwa kuthibitisha hilo, msanii huyo, C-Sir Madini, ameamua kutoa wimbo mwingine alioutambulisha kwa jina la 'Nishike Mkono'.
Msanii huyo ambaye bado ni mwanafunzi, anasema wakati mwingine anakuwa kimya kwenye anga za muziki kutokana na kutingwa na masomo.
"Masomo ndiyo yanayonifanya nishindwe kutoka mara kwa mara kutokana na nguvu nyingi kuzielekeza huko," alisema.
Kuhusu wimbon huo mpya, alisema tayari picha zake za video zimeshachukuliwa na amemshirikisha Benjamin Busungu..
0 comments:
Post a Comment