Mdogo wa Marehemu Kanumba akiwasili viwanjani hapo.
msafara wa Makamu wa Rais.
Viongozi mbali mbali wapo kwenye shughuli hii ya kumuaga marehemu Steveen Kanumba.
Mdau Athuman Khamis pia amehudhulia shughuli hii.
Dada wa Marehemu Kanumba akisaidiwa kubebwa mara baada ya kuishiwa nguvu wakati akiwasili viwanjani hapa.
Viongozi wakuu wa Serikali.
0 comments:
Post a Comment