OGE Okoye, ni mtoto wa mjini na anashangaa sana mnavyosema eti anashinda kwenye kumbi za starehe usiku na sasa anawauliza kwamba: Mbona mume wangu haniulizi
Msanii huyo mwenye watoto wawili, imeripotiwa kwamba hakosekani klabu kila wikiendi na amekuwa karibu na kampani ambazo wadau wanadai zinampotosha kwani hazifanani naye.
Siwaelewi kabisa mnachosema, mimi nimekulia London najua maana ya starehe na kuzikabili, wala sioni cha ajabu mke wa mtu kama mimi kwenda klabu,anasema.
Hata mume wangu akiwa hapa Nigeria tunaenda naye klabu kama kawaida, kama hayupo naenda na rafiki zangu.
Msanii huyo mwenye watoto wawili, imeripotiwa kwamba hakosekani klabu kila wikiendi na amekuwa karibu na kampani ambazo wadau wanadai zinampotosha kwani hazifanani naye.
Siwaelewi kabisa mnachosema, mimi nimekulia London najua maana ya starehe na kuzikabili, wala sioni cha ajabu mke wa mtu kama mimi kwenda klabu,anasema.
Hata mume wangu akiwa hapa Nigeria tunaenda naye klabu kama kawaida, kama hayupo naenda na rafiki zangu.
0 comments:
Post a Comment