BAADA ya wasanii wawili Jack wa Chuz na Jini Kabula, kuzichapa kisa kikiwa ni penzi la Mr Chuzi, sasa hali imekuwa mbaya kwao ambapo ‘Chuz’ ameamua kutoa kauli nzito juu yao, na kusema kuwa wakiendelea kumfuatilia atawafikisha kwenye vyombo vya dola.
kwa sasa Chuzi , aliweka wazi kuwa hana hamu ya kutembea na wasanii hao kwani yaliyomkuta yanatosha.
Alisema tabia walizonazo warembo hao hazifanani na sura zao hivyo ametoa kauli hiyo ili wakae mbali na penzi lake anamuheshimu sana mke wake.
Hata hivyo Mr Chuzi, aliwalaumu wasanii hao kwa kufikia hatua ya kutoleana maneno machafu kwa madai ya kutaka kurudiana naye wakati yeye mwenyewe hana hata mawazo hayo.
“Mimi nilisikia kwamba wamepigana kisa penzi langu, kwa hilo nawalaumu sana kwa sababu hawapo kabisa kwenye akili yangu kwanza wanajua nina mke kwa sasa,” alisema.
Aliongeza kuwa endapo wataendelea kumsumbua atawashtaki kwenye vyombo husika kwani wanaweza kuvuruga amani iliyopo ndani ya ndoa yake.
kwa sasa Chuzi , aliweka wazi kuwa hana hamu ya kutembea na wasanii hao kwani yaliyomkuta yanatosha.
Alisema tabia walizonazo warembo hao hazifanani na sura zao hivyo ametoa kauli hiyo ili wakae mbali na penzi lake anamuheshimu sana mke wake.
Hata hivyo Mr Chuzi, aliwalaumu wasanii hao kwa kufikia hatua ya kutoleana maneno machafu kwa madai ya kutaka kurudiana naye wakati yeye mwenyewe hana hata mawazo hayo.
“Mimi nilisikia kwamba wamepigana kisa penzi langu, kwa hilo nawalaumu sana kwa sababu hawapo kabisa kwenye akili yangu kwanza wanajua nina mke kwa sasa,” alisema.
Aliongeza kuwa endapo wataendelea kumsumbua atawashtaki kwenye vyombo husika kwani wanaweza kuvuruga amani iliyopo ndani ya ndoa yake.
1 comments:
ulivyotembea nao
Post a Comment