Wednesday, January 11, 2012

......SIWEZI KURUDIANA NA WEMA......

MSANII Kanumba amefunguka na madai mazito kuwa hawezi kurudiana na Wema kwani mapenzi yao yaliisha enzi zile. Huku akionyesha kushangazwa na baadhi ya maneno yanaoenezwa na watu mitaani kuwa Kanumba yuko mbioni kurudiana na Wema Sepetu. Alikanusha kaukau maneno hayo Kanumba alisema  kuwa hawezi kurudiana na Wema. 'Jamani naomba mnielewe kuwa siwezi kurudiana na Wema tena'.......Alisema Kanumba........

2 comments:

Anonymous said...

hunas issue we wajanjaclub kazi yako ni copy & paste afu sasa unachelewa sasa kama huna issu ya kuandika si uache tu kuwa makini

priss said...

uamuzi mzuri maana huyo wema kashatembea na wnaume karibia kumi so hana ladha tena

Twitter Delicious Facebook Digg Stumbleupon Favorites More

 
Design by Free WordPress Themes | Bloggerized by Lasantha - Premium Blogger Themes | Grants For Single Moms