Ama kweli, Rehema fabiani pichani juu, hakunaga kitu kichwani kwake. Hivi karibuni baada ya mrembo huyo kuapa kuachana na kinywaji aina ya pombe, majuzi mrembo huyu alinyakwa akiwa haihoi huku hajitambui wala nini. Wadau wansema kuwa mrembo huyu kama hatabadilika atakuwa na maisha ya shida sana huko usoni...... REHEMA tunakushauri umrudie mungu wako......
0 comments:
Post a Comment