Thursday, January 5, 2012

.......MMM JAMANI, HILI MBONA BALAA..... AIRTEL MWISHO WA MATATIZO.....TAMASHA LAO LA BONGO 50 LAWA GUMZO NCHI NZIMA........

... Jay Mo na Mchizi Mox wakiwasha moto katika tamasha la bongo 50 lililoletwa kwenu na kampuni ya simu za mkononi ya Airtel, wakifurahi kwa shangwe ndani ya viwanja vya Leaders Club jijini Dar es Salaam.
Msanii wa kizazi kipya Jay Mo na Jaffarai wakitema fire katika tamasha la bongo 50 lililoletwa kwenu na kampuni ya simu za mkononi ya Airtel, wakifurahi kwa shangwe ndani ya viwanja vya Leaders Club jijini Dar es Salaam.
 Mashabiki wakipagawishwa.....Mikono juuuuu
Sir Juma Nature akiliongoza kundi lake la Wanaume Halisi kutoka Temeke.

 Wooooow
 Jamani
 Heheheheheh
 Shilole naye akifanya mabo yake....
 Inahitaji moyo....

 Walai mtume.......mimi sisemi, ila HAKUNAGA ulafi.....

0 comments:

Twitter Delicious Facebook Digg Stumbleupon Favorites More

 
Design by Free WordPress Themes | Bloggerized by Lasantha - Premium Blogger Themes | Grants For Single Moms