Mwanamitindo Zakovia (pichani) amefunguka na kusema kuwa hapendi kuchezewa makalio yake, akifafanua zaidi amesema kuwa anajisikia vibaya sana mara mwanaume anapomshika makalio yake, mara zote nahisi kama kitendo hiki ni cha kihuni ile mbaya. Alifunguka zaidi kwa kusema kuwa vingine vyote nitamfanyia mwanaume wangu but asinichezee makalio yangu tu. Ni marufuku mwanaume kunichezea makalio yangu...
0 comments:
Post a Comment