Mwanadada Kim amefunguka na kusema kuwa wakati wa harusi yake, magari ya kifahari ndiyo yatakuwa usafiri mkubwa kwa jamaa na ndugu zake siku hiyo. rafiki zake wa karibu na Kim wamedai kuwa mwanadada huyu anataka siku hiyo iwe ya pekee kwake na kwa mmewe, kwamba magari ya kifahari tu ndiyo yatakayo kuwepo siku hiyo. habari zinasema kuwa kunatarajiwa kuwa na magari ya kifahari zaidi ya 100. Mwana-udaku mmoja lisema kuwa magari yatakayokuwepo yanatarajiwa kuwa na gharama zaidi ya milioni 350 .....
0 comments:
Post a Comment