Wednesday, May 18, 2011

........HOBBY YANGU NI KUPIGA PICHA ZA UTUPU........


MWANAMITINDO  DIANA ESCOTTO KATIKA MAPOZI TOFAUTITOFAUTI

(Na mwandishi wetu)
 Kutoka nchini NEW YORK habari za udaku zinasema kwamba mwanamitindo Diana Escotto (Pichani) amewwajia juu waandishi wa habariwa nchini NEW YORK  kwa kumdis kuhusu picha zake za utupu alizopoga hivi karibuni na mpiga picha maarufu anayejulikana kwa jina la Costrol Lameck. Habari zaidi zinadai kuwa yeye binafsi anafurahishwa sana na picha hizo, Akiongea na waandishi wa habari mwanamitindo huyo alisema kuwa hakuna kitu anachokipenda hapa duniani kama kupiga picha za utupu. Hata hivyo duru za mikwanja duniani zinadai kuwa mwanamitindo huyu anaingiza pesa nyingi sana kutokana na picha zake za utupu, inakadiriwa kuwa anaingiza dola milioni 70 kwa ajili ya picha zake hizo kwa wiki.


0 comments:

Twitter Delicious Facebook Digg Stumbleupon Favorites More

 
Design by Free WordPress Themes | Bloggerized by Lasantha - Premium Blogger Themes | Grants For Single Moms