Thursday, April 7, 2011

(07.04.2011) KASRI YA GHAGBO

Majeshi yanayompinga kiongozi aliyekataa kuondoka madadarakani Laurent Gbagbo, wamefanya shambulio la mwisho katika kasri ya rais ambapo amejificha.
Bw Gbagbo amekuwa katika mazungumzo na Umoja wa Mataifa kuhusu mipango ya kuondoka kwake, baada ya kuzungukwa na majeshi yanayomtii hasimu wake Alassane Ouattara.

0 comments:

Twitter Delicious Facebook Digg Stumbleupon Favorites More

 
Design by Free WordPress Themes | Bloggerized by Lasantha - Premium Blogger Themes | Grants For Single Moms