Majeshi yanayompinga kiongozi aliyekataa kuondoka madadarakani Laurent Gbagbo, wamefanya shambulio la mwisho katika kasri ya rais ambapo amejificha.
Bw Gbagbo amekuwa katika mazungumzo na Umoja wa Mataifa kuhusu mipango ya kuondoka kwake, baada ya kuzungukwa na majeshi yanayomtii hasimu wake Alassane Ouattara.
0 comments:
Post a Comment