Rayuu alisema kuwa amechora michoro hiyo sehemu
nyingi za mwili wake kuanzia kiunoni, shingoni, kwenye maziwa, makalio na
mapaja na alidai kuwa anajisikia furaha kuwa na tattoo hizo kwani
hajafanya kwa kushawishiwa na mtu.
Alidai kuwa hata hivyo kati ya michoro hiyo aliouweka kiunoni unasomeka jina lake la ‘Rayuu’ na mengine ni ya aina mbalimbali, “tattoo nazipenda sana lakini kati ya zote hii ya kiunoni naipenda kuliko zote ingawa aliyenichora aliikosea kidogo,” alisema.
Alidai kuwa hata hivyo kati ya michoro hiyo aliouweka kiunoni unasomeka jina lake la ‘Rayuu’ na mengine ni ya aina mbalimbali, “tattoo nazipenda sana lakini kati ya zote hii ya kiunoni naipenda kuliko zote ingawa aliyenichora aliikosea kidogo,” alisema.
Juu
na chini ni baadhi ya TATTOO alizochora msanii Rayuu, anasema kuwa yeye TATTOO
ni kitu mhimu sana kwake.
0 comments:
Post a Comment