MWANAFUNZI
wa kidato cha nne katika Sekondari ya Alfa Germ, Morogoro, Jessica Kiliani
(17),amelazimika kufanya mtihani wake wa kuhitimu elimu hiyo akiwa wodini
baada ya kufanyiwa upasuaji. Hatua hiyo ilifikiwa baada ya mwanafunzi huyo,
kuomba aruhusiwe kufanya mtihani huo licha ya kuwa wodini akiugulia maumivu ya upasuaji
aliofanyiwa na madaktari wa Hospitali ya Mkoa wa Morogoro kwa zaidi ya saa mbili
na kulazwa katika wodi ya wazazi namba 7B.
(17),amelazimika kufanya mtihani wake wa kuhitimu elimu hiyo akiwa wodini
baada ya kufanyiwa upasuaji. Hatua hiyo ilifikiwa baada ya mwanafunzi huyo,
kuomba aruhusiwe kufanya mtihani huo licha ya kuwa wodini akiugulia maumivu ya upasuaji
aliofanyiwa na madaktari wa Hospitali ya Mkoa wa Morogoro kwa zaidi ya saa mbili
na kulazwa katika wodi ya wazazi namba 7B.
0 comments:
Post a Comment