WIKI
hii katika mitandao kadhaa ya Nigeria imesambazwa picha za mwigizaji Chinedu
Ikedieze 'Aki' akiwa amemkumbatia mtoto na kuzuka habari kuwa nyota huyo wa
filamu za Nigeria alipata mtoto kabla ya kuoa.
Habari zimezagaa kuwa Aki amekuwa akificha ukweli kuhusu mtoto wake ingawa taarifa za ndani zinasema kwamba mkewe aitwaye Nneoma anafahamu juu ya jambo hilo.
Hata hivyo, Aki hakutaka kutoa ufafanuzi juu ya mtoto huyo kwa madai kwamba hayo ni maisha yake binafsi.
Aki na Nneoma walifunga ndoa mwaka jana.
Habari zimezagaa kuwa Aki amekuwa akificha ukweli kuhusu mtoto wake ingawa taarifa za ndani zinasema kwamba mkewe aitwaye Nneoma anafahamu juu ya jambo hilo.
Hata hivyo, Aki hakutaka kutoa ufafanuzi juu ya mtoto huyo kwa madai kwamba hayo ni maisha yake binafsi.
Aki na Nneoma walifunga ndoa mwaka jana.
0 comments:
Post a Comment