RAMSEY
ameingia rasmi katika uandaaji wa filamu baada ya kushiriki kazi za
watayarishaji wengine kwa muda mrefu.
Msanii huyo anasema sasa ana zaidi ya filamu 120 alizoshiriki kuigiza lakini hakuna hata filamu yake moja.
Mwenyewe naweza kuandaa filamu yangu baada ya kutumiwa sana na wenzangu ni ushindi na furaha pia," alisema.
"Filamu ya Binti Yangu ni filamu yangu ya kwanza kabisa katika maisha yangu kutengeneza mwenyewe, ni ushindi na ninawatia moyo wasanii wengine kujaribu."
Anasema kuwa unapokuwa na filamu yako ambayo unashiriki, kila ulichopanga huenda kama unavyotaka kwa mantiki hiyo ni tofauti na filamu unayoshirikishwa kuna wakati unashindwa hata kuchangia kwani wengine hawapendi ushauri.
Katika filamu hiyo anawashirikisha wasanii wakali katika tasnia ya filamu kama Grace Mapunda, Lucy Komba, Mohamed Funga Funga Mzee Jengua, Heriety Chumila, Diana Exavery, Jennifer Raymond Penina, Jumanne Mshindo, Ramsey mwenyewe na wengineo.
Msanii huyo anasema sasa ana zaidi ya filamu 120 alizoshiriki kuigiza lakini hakuna hata filamu yake moja.
Mwenyewe naweza kuandaa filamu yangu baada ya kutumiwa sana na wenzangu ni ushindi na furaha pia," alisema.
"Filamu ya Binti Yangu ni filamu yangu ya kwanza kabisa katika maisha yangu kutengeneza mwenyewe, ni ushindi na ninawatia moyo wasanii wengine kujaribu."
Anasema kuwa unapokuwa na filamu yako ambayo unashiriki, kila ulichopanga huenda kama unavyotaka kwa mantiki hiyo ni tofauti na filamu unayoshirikishwa kuna wakati unashindwa hata kuchangia kwani wengine hawapendi ushauri.
Katika filamu hiyo anawashirikisha wasanii wakali katika tasnia ya filamu kama Grace Mapunda, Lucy Komba, Mohamed Funga Funga Mzee Jengua, Heriety Chumila, Diana Exavery, Jennifer Raymond Penina, Jumanne Mshindo, Ramsey mwenyewe na wengineo.
0 comments:
Post a Comment