Hili ndilo eneo ambalo Roma amepatia ajali..
Roma akimwelezea police wa usalama barabarani
kilichotokea mpaka kupata ajali hiyo mbaya.
Hii ndiyo hali ya gari ya Roma
ilivyo baada ya kupata ajali.
Huyu ni mmoja kati ya marafiki wa Roma aliyekuwa nae kwenye gari
wakielekea Morogoro kwenye show.
Muda mchache uliopita msanii wa kizazi kipya kwenye bongo hip hop ROMA
amepata ajali mbaya barabara ya Morogoro. Roma anasema alikuwa yupo kwenye
mwendo wakawaida ndio tairi la mbele lilipopata pancha na ndipo gari likaacha
njia yake na kwenda kugongana uso kwa uso na fuso ambalo lilikuwa upande wa
pili na gari hilo dogo alilokuwa akiendesha Roma kurudi lilipotokea.
Roma ananiambia kwa sasa anaelekea Hospital kwa check up zaidi ila
aliokuwa nao kwenye gari hakuna aliyeumia wote ni wazima.
0 comments:
Post a Comment