Sunday, July 8, 2012

.....WEMA, WOLPER WAMEKATA MZIZI WA FITINA......

Kocha wa Wema Sepetu ,Rashidi Matumla akimvua Joho wema kabla ya kupigana 
Bondia Wema Sepetu akimkimbia mpanzani wake Jacklen Wolper wakati wa mpsambano wao
Mabondia ambani ni wacheza filamu maarufu nchini Wema Sepetu kushoto na Jacklen Wolper wakioneshana ufundi wa kutupiana masumbwi wajkati wo Tamasha la vMatumaini lililofanyika jumamosi katika uwanja wa Taifa

Baada ya mpambano wawili hawo hawo wanaondoka eneo la tukio

0 comments:

Twitter Delicious Facebook Digg Stumbleupon Favorites More

 
Design by Free WordPress Themes | Bloggerized by Lasantha - Premium Blogger Themes | Grants For Single Moms