MWONGOZAJI,
mwigizaji na mtayarishaji wa filamu Swahiliwood, Issa Mussa Cloud 112, anasema
kuandaa filamu inayohusu hadithi za dini ni kazi ngumu, lakini ndiyo
inayombeba.
Amesema katika filamu zote alizowahi kuigiza, hajawahi kupongezwa kama anavyopongezwa katika filamu yake mpya ya Toba inayozungumzia mambo ya kidini.
Kwa sasa nina mtihani mkubwa, baada ya kutoka filamu ya Toba iliyowagusa wengi, watu wanataka niendelee nazo, lakini shida inayonikabili ugumu wa filamu za aina hii," alisema.
"Ni filamu zinazohitaji fedha nyingi katika kurekodi, fedha hizo ni kwa ajili ya mavazi na malipo kwa wahusika si jambo dogo.
Filamu ya Toba ilizinduliwa hivi karibuni katika ukumbi wa Ngome Kongwe mjini Unguja, Zanzibar na kuhudhuriwa na Makamu wa Kwanza wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad na viongozi wengine kadhaa.
Amesema katika filamu zote alizowahi kuigiza, hajawahi kupongezwa kama anavyopongezwa katika filamu yake mpya ya Toba inayozungumzia mambo ya kidini.
Kwa sasa nina mtihani mkubwa, baada ya kutoka filamu ya Toba iliyowagusa wengi, watu wanataka niendelee nazo, lakini shida inayonikabili ugumu wa filamu za aina hii," alisema.
"Ni filamu zinazohitaji fedha nyingi katika kurekodi, fedha hizo ni kwa ajili ya mavazi na malipo kwa wahusika si jambo dogo.
Filamu ya Toba ilizinduliwa hivi karibuni katika ukumbi wa Ngome Kongwe mjini Unguja, Zanzibar na kuhudhuriwa na Makamu wa Kwanza wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad na viongozi wengine kadhaa.
0 comments:
Post a Comment