BAADA
ya kupotea katika muziki kutokana na ulevi na kashfa mbalimbali, mwanamuziki
Britney Spear, ameibuka na kusema yuko tayari kurudisha heshima yake, lakini
mwonekano wake unazungumza tofauti.
Hivi majuzi alitambulishwa kuwa Jaji wa shindano kubwa la uimbaji, X Factor, ambapo alionekana mwenye wasiwasi.
Britney aliyekuwa mlevi wa kupindukia, alionekana akitafuna kucha mbele ya waandishi wa habari mpaka zikaanza kutoa damu hali iliyoashiria uoga.
Aidha alikuwa akikunja vidole muda wote wakati akiongea hali iliyoashiria kuwa alikuwa akiogopa kupita kiasi na kuwaacha watu wakihoji kama yuko tayari kurudi jukwaani kuimba.
Mwanamuziki huyo aliingia na Demi Lovato kuchukua nafasi za Paula Abdul na Nicole Scherzinger ambao wameondolewa katika safu ya majaji.
Hivi majuzi alitambulishwa kuwa Jaji wa shindano kubwa la uimbaji, X Factor, ambapo alionekana mwenye wasiwasi.
Britney aliyekuwa mlevi wa kupindukia, alionekana akitafuna kucha mbele ya waandishi wa habari mpaka zikaanza kutoa damu hali iliyoashiria uoga.
Aidha alikuwa akikunja vidole muda wote wakati akiongea hali iliyoashiria kuwa alikuwa akiogopa kupita kiasi na kuwaacha watu wakihoji kama yuko tayari kurudi jukwaani kuimba.
Mwanamuziki huyo aliingia na Demi Lovato kuchukua nafasi za Paula Abdul na Nicole Scherzinger ambao wameondolewa katika safu ya majaji.
0 comments:
Post a Comment