Msanii
Linex wengi wanapenda kumwita ‘Mjeda‘ ameachia ngoma yake mpya
inayokwenda kwa jina la ‘Aifora’, ikiwa ni single yake ya 3 kuachia
mwaka huu tangu uanze, ngoma yake ya kwanza kuachia ilikuwa “macho yangu
juu” baada ya hii ameachia single nyingine inaitwa “Nitaificha Wapi”
single ambayo amemshirikisha msanii Diamond Ambayo inafanya vizuri
sasahivi kwenye vituo mbalimbali vya redio, Linex ameachia mzingo
mwingine matata sana…..hakika wimbo huu ukiusikia utakukuna sana….wimbo ambao
utakuja kufanya vizuri sana, umesimamiwa na producer Fundi Samweli. Haya
kazi kwenu wasikilizaji na mashabiki wa “Mjeda Linex” na mkae mkao wa
kusubiri video.
0 comments:
Post a Comment