Saturday, May 5, 2012

.......MASTAA SABA WATAKAO SHIRIKI BIG BROTHER AFRICA HAWA HAPA.....

Barbz kutoka south africa(mwanamitindo na mfanyabiashara)
Dkb kutoka Ghana(mchekeshaji wa stand up comedy)
    Goldie kutoka Nigeria(mwimbaji)
Mwimbaji Lady may kutoka Namibia
     Mampi kutoka zambia(mwimbaji)
Rocki kutoka Zimbwabwe(mwanamuziki)
CMB prezzo kutoka Kenya (mwanamuziki)


BREAKING NEWS kutoka multichoice ni kuwa big brother afrika inaanza jumapili itakuwa na mastar kadhaa wa afrika ambao wataingia na kushiriki yaani sio kwa kipindi kifupi kama wengi watakavyodhani ni watakuwa miongon mwa washiriki
Tanzania haijawekwa kwenye list kati ya mastar hao saba na hakuna taarifa yeyote a ziada lakini huenda BBA wanapanga kutufanyia suprise

0 comments:

Twitter Delicious Facebook Digg Stumbleupon Favorites More

 
Design by Free WordPress Themes | Bloggerized by Lasantha - Premium Blogger Themes | Grants For Single Moms