Bus la kampuni ya MURO investment lenye namba za usajili T820 BEY juzi liliteketea kwa moto mkoani Morogoro. Habari zinasema kuwa chanzo cha moto huo ni hitilafu ya umeme iliyojitokeza katika bus hilo, hata hivyo hakuna abiria yeyote aliyepata madhara kutokana na moto huo isipokuwa mali zote za abaria ziliteketea ndani kwa moto.
0 comments:
Post a Comment