KIM
Kardashian amesema hatakubali kuuza sura na mpenzi wake, Kanye West, kwa kuwa
mchezo huo ulimharibia katika ndoa yake na mcheza kikapu, Kris Humphries.
Staa huyo amesema kama asingeyaanika sana maisha yake ya mapenzi, huenda mpaka leo angekuwa na mumewe Kris ambaye ndoa yao ilidumu kwa siku 72 tu.
"Sitakubali kujianika sana na Kanye West, kama atatokea kwenye vipindi vyetu vya Keeping Up With The Kardashian, itakuwa mara moja moja sana," anasema Kim.
Staa huyo amesema kama asingeyaanika sana maisha yake ya mapenzi, huenda mpaka leo angekuwa na mumewe Kris ambaye ndoa yao ilidumu kwa siku 72 tu.
"Sitakubali kujianika sana na Kanye West, kama atatokea kwenye vipindi vyetu vya Keeping Up With The Kardashian, itakuwa mara moja moja sana," anasema Kim.
0 comments:
Post a Comment