MSANII
kinda, Justin Bieber, hii imekuwa ni wiki nzuri kwake kwani ndiyo amemaliza
elimu ya sekondari baada ya kuisotea kwa muda mrefu kutokana na kutingwa na
muziki.
Bieber ameonyesha furaha yake ya kutua mzigo huo kwa kuandika kila mara katika mtandao kuwa anashukuru amefanikisha jambo hilo ambalo mama yake alikuwa akiling'ang'ania.
"Nimemaliza shule na kufaulu mitihani yangu vizuri, sasa niko huru kwani ilikuwa ngumu kwangu kufuata masomo na muziki kwa wakati mmoja," ameandika katika mtandao huo.
"Ninafuraha kwa kuwa nimefanikisha kile ambacho mama yangu alikuwa akiking'ang'ania sana, nilifanya hivi kwa ajili yake. Kiukweli nilikuwa siipendi kabisa shule."
Bieber ameonyesha furaha yake ya kutua mzigo huo kwa kuandika kila mara katika mtandao kuwa anashukuru amefanikisha jambo hilo ambalo mama yake alikuwa akiling'ang'ania.
"Nimemaliza shule na kufaulu mitihani yangu vizuri, sasa niko huru kwani ilikuwa ngumu kwangu kufuata masomo na muziki kwa wakati mmoja," ameandika katika mtandao huo.
"Ninafuraha kwa kuwa nimefanikisha kile ambacho mama yangu alikuwa akiking'ang'ania sana, nilifanya hivi kwa ajili yake. Kiukweli nilikuwa siipendi kabisa shule."
0 comments:
Post a Comment