Flaviana
akionesha moja ya maboya yenye nembo ya foundation yake aliyokabidhi katika
kumbukumbu ya miaka 16 ya ajali ya MV Bukoba ikiwa ni kampeni yake ya kupunguza
ajari za majini hapa nchini.
Flaviana Matata akikabidhi msaada wa maboya
500 kwa mwakilishi wa mkuu wa mkoa wa Mwanza, Elias Makori kulia ikiwa ni
kumbukumbu ya miaka 16 ya ajari ya meli ya MV Bukoba, anayeshuhudia ni Meneja
Masoko na Biashara wa Shirika la usafirishaji wa majini mkoani Mwanza la Marine
Service,Kapten Obadia Nkongoki. Igoma jijini Mwanza,
Flaviana
Matata akishindwa kujizuia na kuangua kilio wakati wa ibaada ya kumbukumbu ya
miaka 16 ya ajari ya meli ya MV Bukoba alipotembelea baadhi ya makaburi ya watu
waliopoteza maisha katika ajari hiyo yaliyopi Igoma jijini Mwanza, katika ajali
hiyo Flaviana alimpoteza pia mama yake mzazi.
Source: DJ Choka blog
0 comments:
Post a Comment