Thursday, April 19, 2012

.......POLE SANA SUMA LEE....MZEE WA HAKUNAGA......

Habari zilizotufikia hivi punde chumba cha habari ni kwamba mama mzazi wa msanii wa kizazi kipya Suma lee amefariki dunia kwa ugonjwa wa kiharusi katika hospitali ya muhimbili jijini Dar.
Suma Lee anaetamba na kibao cha "hakunaga" yuko katika hali ya majonzi mazito ya kuondokewa na mpendwa wake,tunampa pole sana mwenzetu katika burudani.

0 comments:

Twitter Delicious Facebook Digg Stumbleupon Favorites More

 
Design by Free WordPress Themes | Bloggerized by Lasantha - Premium Blogger Themes | Grants For Single Moms