Katibu
wa NEC,Itikadi na uenezi CCM, Nape Nnauye akizungmza na wandishi wa habari
jijini Dar leo, ofisi ndogo ya mako makuu ya CCM, mtaa wa Lumumba, Dar es
salaam, kuhusu maamuzi ya kikao cha kamati kuu ya CCM iliyokutana leo jijin
Dar. Nape alisema kuwa pamoja na mambo mengine kikao hiki kimebariki kuvunjwa na
kusukwa upya kwa baraza la mawaziri, na kazi ya kusukwa upya kwa baraza la
mawaziri inategemewa kufanyika hivi karibuni.
Source:
Michuzi blog
0 comments:
Post a Comment