Like Abraham ndiye aliyeibuka kidedea katika shindano la ‘Vaa, Imba, Cheza kama Rihanna’ ambalo lilifanyika katika ukumbi wa Dar Live uliopo Mbagala jijini Dar es Salaam na kufanikiwa kujinyakulia Shilingi milioni 10. Kabla ya shindano hilo kulikuwa na burudani kutoka kwa wasanii mbalimbali wakiwemo Bambo, Mtanga na H. Mbizo.
0 comments:
Post a Comment