Friday, April 27, 2012

......HATA SISI TUNAPENDA KUHESHIMIWA.......XAVERIA KIMARO......

 Xaveria Kimaro, utavyonzajeeee?
 Xaveria katika pozi
Xaveria with shost, lol

Mmoja kati ya hot models in Town wa blog hii, Xaveria Kimaro anayepiga kitabu katika chuo kikuu kimoja nchini, amefunguka na kutoa somo la nguvu kwa wanaume.
Katika face page yake, mrembo huyu mwenye macho ya kuvutia amedai kuwa si kwa wanaume tu bali hata wanawake pia wanahitaji kuheshimiwa. Aliongeza kwa kusema kuwa mwanamke havutiwi na muonekano pekee wa mwanaume husika bali upendo wa dhati, hata hivyo alidai kuwa mwanamke pia anahitaji mwanaume atakaye mpenda na kumjali.

0 comments:

Twitter Delicious Facebook Digg Stumbleupon Favorites More

 
Design by Free WordPress Themes | Bloggerized by Lasantha - Premium Blogger Themes | Grants For Single Moms