Friday, March 2, 2012

..........WAZANZIBARI WAJIPANGA KUPAMBANA NA KICHOCHO.....

Mwanafunzi wa shule ya Ngwachani iliyopo Zanzibar Selemani Sareh akinywa dawa ya kichocho kuashiria uzinduzi wa kampeni ya kupambana na ugonjwa huo visiwani humo. Wanaoshuhudia ni Naibu Waziri wa Afya wa Zanzibar, Sira Ubwa Mwamboga (mwenye kilemba) na Mwenyekiti Mtendaji wa kampuni ya dawa ya kijerumani iitwayo Merck Dk. Karl Ludwig Kley(kulia). (Na Mpigapicha Wetu).

0 comments:

Twitter Delicious Facebook Digg Stumbleupon Favorites More

 
Design by Free WordPress Themes | Bloggerized by Lasantha - Premium Blogger Themes | Grants For Single Moms