Friday, March 9, 2012

........HUU NI UNYAMA USIOKUWA NA KIPIMO......

Waombolezaji katika msiba wa marehemu Tabu Bakari Mwangela (58), aliyeuawa kwa  kukatwakatwa na mapanga na mtu au watu wasiofahamika katika  Kijiji cha Malamba wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya.
Waombolezaji katika msiba wa marehemu Tabu Bakari Mwangela (58), aliyeuawa kwa  kukatwakatwa na mapanga na mtu au watu wasiofahamika katika  Kijiji cha Malamba wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya.
Ndugu wa marehemu wakilia baada ya kuuona mwili wake Tabu Bakari Mwangela (58), aliyeuawa kwa  kukatwakatwa na mapanga na mtu au watu wasiofahamika katika  Kijiji cha Malamba wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya.

1 comments:

Anonymous said...

HUU UNYAMA SIYO WA KUFUMBIA MACHO HATA KIDOGO. ITABIDI IFIKIE WAKATI SERIKALI IWE INAWANYONGA WATU WANAOFANYA MAUAJI YA AIHA HII BILA HURUMA YOYOTE

Twitter Delicious Facebook Digg Stumbleupon Favorites More

 
Design by Free WordPress Themes | Bloggerized by Lasantha - Premium Blogger Themes | Grants For Single Moms