Wajanja blog inakuletea shindano bomba la kumtafuta msichana mrembo mwenye pozi la kudatisha. Kama unadhani wewe ni msichana mrembo na ni mtundu wa kupiga picha basi njoo ushiriki shindano hili. Zawadi nono itatolewa kwa mshindi wa kwanza mpaka wa tatu. Warembo wote watapiga picha inayofanana na picha na pozi la mwanamitindo hapo juu. Kushiriki tuma meseji kwenye namba hii 0715 199 869 kwa ajili ya maelekezo zaidi . Pia waweza kutuma email kwenda wajanja.dar1@gmail.com
0 comments:
Post a Comment