MSANII wa filamu nchini Ray amefunguka na kusema kuwa amejipanga vyema kuboresha kazi zake. Kwa kukazia hayo Ray alisema kuwa kwasasa yuko nchini China kununua mitambo ya ya kufa mtu itakayosaidia kuboresha filamu zake. Alisisitiza kuwa kwa kuanzia wadau wa filamu wajiandae kuona filamu yake anayotegemea kufyatua hivi karibuni
1 comments:
ninakukubali ila hiyo carolight achana nayo kabisa!!! au unaogopa utakuwa mweusi kama chungu???????
Post a Comment