Thursday, January 12, 2012

........... HAPA NDIPO ANAPOISHI BABY GIRL WA BEYONCE.........


HABARI za kuaminika zinadai kuwa mtoto wa kike wa Beyonce aliyejifungua hivi majuzi( Blue Ivy Carter) anaishi kwenye nyumba ya kifahari ailiyoandaliwa na wazazi wake. Jay Z alidai kuwa hii ni sehemu tulivu kwa mwanae na itakuwa nzuri kwake. Wadau wandai kuwa nyumba hiyo ni ya kifahari ile mbaya na iko katika jiji la New York City.

0 comments:

Twitter Delicious Facebook Digg Stumbleupon Favorites More

 
Design by Free WordPress Themes | Bloggerized by Lasantha - Premium Blogger Themes | Grants For Single Moms