KAMA imekukera habari hii, nakuomba uipotezee. Ninachoweza kusema ni kwamba sanaa ukiwa makini inalipa kwasasa. Baada ya kupata habari hii tulijaribu kumpatafuta Ray ili athibitishe ukweli wa habari hii. Ray mwenyewe alikili kuwa ni kweli amevuta usafiri huo. Hata hivyo alidai kuwa kwasasa yuko Nchini China kwa safari ya kikazi. Binafsi nafurahishwa sana na maendeleo ya wasanii hapa nchini.....
1 comments:
la ukweli
Post a Comment